WELCOME ALL

Gonga Hapa.

Thursday, October 13, 2011

CHATU

Kiumbe huyu...Chatu(Python) ndo kati ya nyoka wachache duniani wenye meno zaidi ya 2 maana hawana sumu. Meno yao hutumika kukamata msosi mdoni na kuubana ili usikimbie. wanaua kwa kubana na kujizungusha kwa mnyama kumziba pumzi na kuvunja vunja mbavu na mifupa. Hapa alimeza Impala (Swala pala) . bahati mbaya akanasa kwenye fensi ya umeme..South border to Botswana...wadau wakamdaka akikata roho....Follow...
Hapa ameona fensi ndo nuksi akaamua king'ata kumbe ndo anapigwa shoti zaidi

Mnyama mwenewe aliyemeza anasazi kama hii hapa...alafu mtamu kuliko mbuzi,anaitwa mbawala kwa waliowahi tembelea mbuga za wanyama watakua wanamfahamu vizuri


Wadau walimchinja wakapata mboga mbili tofauti...nyama choma ya swala na mapande ya chatu ya kumwaga...Yummy!!



Huyu(sio chatu) alimeza yai kubwa la Mbuni (Ostrich). Hapo najiuliza je Nazi imeingiaje kwenye tumbo la nyoka!! viumbe hawa wamepewa uwezo wa kula vitu vikubwa sana kuliko hata maumbile yao lakini lazima waishi na lazima wale.


akameza yai linye ukubwa kama picha inavyoonyesha hapo chini

No comments: