WELCOME ALL

Gonga Hapa.

Tuesday, April 30, 2013

WELCOME TO KUNAMBI BLOG!!!
inasadikika watoto wadogo hawawezi kudhuriwa na viumbe hatari kama nyoka,kwani wanapata ibra kutoka kwa mungu,malaika hawa wa mungu hulindwa na nguvu za mungu kwenye hatari ya aina yoyote ile,lakini kinachotakiwa unapomkuta mtoto kwenye hatari hutakiwi kushtuka wala kupiga mayowe kwani kwa kufanya hivyo utamshtua kiumbe hatari aliye karibu nae kuweza kumdhuru,lakini kama utakua na roho ngumu na kutulia kimya huyo kiumbe hatari kama vile nyoka n.k anaweza kucheza na mtoto kisha akaondoka zake bila kumdhuru.

No comments: