WELCOME ALL

Gonga Hapa.

Tuesday, April 30, 2013

WELCOME TO KUNAMBI BLOG!!! Kufuatia vurugu kubwa zilizozuka mkoani Lindi wilaya ya Liwale kwa wakulima wa korosho kudai mafao yao ya shilingi mia sita (600) imesababisha tafrani kubwa kiasi nyumba ya mbunge wa wilaya hiyo kuchomwa kwa moto na kuharibiwa vibaya, na baadhi ya magari kuchomwa moto.




kufuatia vurugu hizo serikali ya kijiji iliamriwa na mamlaka ya bodi ya korosho kumalizia kiasi hicho kinachodaiwa na wakulima ili kuepusha vurugu wilayani humo

No comments: